Majukumu Makuu ya DACC (Kamati ya Mitihani)
Mfumo huu umejengwa kwa mahitaji ya Kamati ya Mitihani ya Halmashauri ya Wilaya ya Masasi: kupokea na kuchakata taarifa za mitihani kutoka shule, kufanya uhakiki, na kutoa ripoti za wilaya.
Uhakiki wa Matokeo
Kagua uhalali wa alama, funga matokeo, na dhibiti marekebisho kwa utaratibu rasmi.
Takwimu za Kata/Wilaya
Uchambuzi wa shule kwa kata, wastani, ufaulu, na mwenendo wa matokeo kwa vipindi.
Ripoti Rasmi
Toa report cards na summary sheets zinazoweza kupakuliwa (PDF/Export) au kuchapishwa.
Usalama & Ufuatiliaji
Roles & permissions, uthibitisho wa watumiaji, na kumbukumbu (audit trail) ya mabadiliko.
Usimamizi wa Watumiaji
Ongeza watumiaji wa shule/ofisi, weka majukumu na uidhinishaji wa viwango mbalimbali.
Usajili wa Shule
Rekodi shule, kata, na taarifa muhimu kwa usimamizi wa mitihani wa ngazi ya wilaya.
Mtiririko wa Kazi
Hatua rahisi zinazoifanya DACC kupata matokeo na ripoti kwa uhakika.
Shule Inawasilisha Matokeo
Matokeo ya mitihani huingizwa/kupokelewa kulingana na somo, darasa na kipindi.
DACC Inahakiki & Kufunga
Kamati hukagua ubora wa data, huthibitisha, kisha hufunga matokeo kama rasmi.
Ripoti & Takwimu Zinapatikana
Ripoti za shule/kata/wilaya hutolewa kwa export/print na kuhifadhi kumbukumbu.